DAR: Jeshi la Polisi lazidi kudhibiti wizi wa Mali za Taifa - Dar East Project

Post Top Ad

demo-image
nth

DAR: Jeshi la Polisi lazidi kudhibiti wizi wa Mali za Taifa

Share This
DAR: Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Askari wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), wanamshikilia Samwel Nzagi Kilang'ani kwa tuhuma za kutoboa bomba la mafuta ya Dizeli mali ya TPA, na kujiunganishia bomba jingine hadi nyumbani kwake.
- Jeshi la polisi linawatafuta watuhumiwa wengine waliokuwa wanashirikiana nae

Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages