Makosa wanayofanya wanawake katika mahusiano ya kimapenzi - Dar East Project

Post Top Ad

Makosa wanayofanya wanawake katika mahusiano ya kimapenzi

Makosa wanayofanya wanawake katika mahusiano ya kimapenzi

Share This

Makosa wanayofanya wanawake katika mahusiano ya kimapenzi

Zipo sababu mbalimbali ambazo huchangia mahusiano mengi ya kimapenzi kufa, na miongoni mwa tabia hizo ni pamoja na zile tabia ambazo wanawake hao wamekuwa wakiziendekeza na miongoni mwa tabia hizo ni kama ifutavyo;
  1. Kauli mbaya kwa mmewe. Unakuta mwanamke anarepu mbele ya mme wake utafikiri kafingiwa mota mdomoni.
  2. Uchafu. Unakuta baadhi ya wanawake akioga usiku mpaka usiku mwingine. Ngua ya ngani ukiangalia utafikiri mafundi wapiga plasta ukuta.
  3. Kukataa kufanya tendo la ndoa wakisingizia wamechoka.
  4. Dharau.
  5. Kuwa na michepuko ya wanaume wa nje.
  6. Pesa. Wanawake wakipata pesa uona wanaume wao si lolote.
  7. Elimu . Mwanamke akisoma na kumzidi mmewe basi anaona hata tendo la ndoa kufanyika maamuzi ni yake mwenyewe. Upatikanaji wa elimu kwa mwanamke umesababisha mahudiano mengi kufa.
  8. Madaraka. Ukifanya utafiti mdogo tu utakuta wanawake walio wengi wenye madaraka hawapo kwenye ndoa.  Wanaona kupata madaraka basi na masuala ya kimapebzi hayana nafasi yena.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here