MAGONJWA YA MIFUGO, DALILI NA TIBA - Dar East Project

Post Top Ad

MAGONJWA YA MIFUGO, DALILI NA TIBA

MAGONJWA YA MIFUGO, DALILI NA TIBA

Share This

MAGONJWA YA MIFUGO, DALILI NA TIBA

EAST COAST FEVER
( Ndigana kali)
Ndigana kali ni gonjwa ambalo sio la kuambukiza, ambalo umpata ngombe na hua dalili zifuatazo   
Ø   Homa kali
Ø  kukohoa
Ø  dyspnoea
Ø   Kutokwa na kamasi
Ø  Kuvimba lymp 


 MAAMBUKIZI
 Ndigana kali husambazwa na kupe anaeitwa Rhipicephalus appendiculatus
Huambukiza kwa kula masikio ya ndama na pia huzaliana hapo nakua wengi.


utambuzi
unaweza kutambua kwa kutumia historia ya mfugaji kuwaosha, lakini pia unaweza kutambua kwa kutumia dalili zifuatazo.

  • homa kali
  •  kutokea kwa magonjwa mengine yanayo tokana na kupe mfano (Anaplasmosis, Babesiosis, Trypanosomosis)
  • mnyama kukosa laa 
  • kuvimba lymp
TIBA

  • Clexon (parvaquone,10mg/kg IM, q 48h tiba mara mbili) inaleta matokeo mazuri  
Matayalisho mengine kama dawa (Buparvaquone, fruvexone, parvexon)
Prednisolone (inapunguza uvimbe) 
usafi wa hali ya juu
kuzungushia fence kupulizia dawa malisho na wanyama

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here