UFUGAJI WA SAMAKI - Dar East Project

Post Top Ad

UFUGAJI WA SAMAKI

UFUGAJI WA SAMAKI

Share This
UFUGAJI SAMAKI AINA YA SATO UFUGAJI SAMAKI AINA YA SATO UFUGAJI 



SAMAKI SATO UFUGAJI BORA SAMAKI AINA YA SATO 1.0 UFUGAJI WA SAMAKI Ø Ni kitendo cha kuzalisha samaki katika mabwawa, matenki au Mifereji kwa lengo la chakula au kujipatia kipato 1.1 UMUHIMU WA UFUGAJI WA SAMAKI Ufugaji wa samaki unazo faida mbalimbali ambazo ni:- Ø Kujipatia chakula bora na cha kutosha kwa ajiri ya familia na jamii. Ø Njia bora ya kujiajiri na kujiongezea kipato kutokana na mauzo ya samaki. Ø Hutoa fursa ya matumizi ya ardhi isiyofaa kwa ajili ya kilimo. Ø Ufugaji wa samaki hutoa nafasi ya kilimo mseto cha samaki na mazao/mifugo kwa wakati mmoja katika eneo moja, hivyo kutoa mavuno mengi. 1.2.0 MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUANZISHA UFUGAJI WA SAMAKI; 1.2.1Mtaji Ø Mkulima anashauriwa kuhakikisha kuwa ana mtaji kabla hajaamua kufanya ufugaji wa samaki, kiwango cha mtaji kitategemea ukubwa wa mradi husika. 1.2.2 Soko Ø Ni vyema kujua upatikanaji wa soko pamoja na washindani wako kabla ya kuanzis

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here