ORODHA YA UTAYARI WA KIKAO - Dar East Project

Post Top Ad

ORODHA YA UTAYARI WA KIKAO

ORODHA YA UTAYARI WA KIKAO

Share This

KILIMO/MIFUGO-KIBIASHARA

TAARIFA
Kwa:
                         Wanagroup Wote
                        @Sis Fetty-Group Admin
                        @Dada Irene Sophy--Group Admin
                        @-DC- Group Admin
                        @Rabbit Father- Group Admin(kijiji cha wafugaji)
Kutoka:          @Mr Msuya- Group Admin(Kiongozi)

Tarehe:          19 July 2018

Yah:              MJADALA JUU YA KUWEKA TARATIBU ZA VIKAO VYA WAZI

Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu.

Napenda kuwajulisha kwamba kutokana na wadau wa fani hii ya kilimo nafifugo kuona kuwa tunaweza tukasonga mbele zaidi hasa kibiashara na kufikia viwango vya juu katika kuleta mageuzi chanya na yenye tija juu ya tunacho kiamini.

Imeelezwa kuwa kuanzisha vikao vya wazi kwa wana KILIMO/MIFUGO-KIBIASHARA huondoa hofu baina ya wanachama,lakini pia huzidisha upendo na urafiki,huongeza tija na uaminifu hasa katika swala zima la kibiashara.

Tukapitisha kuwa tukubaliane kwa kujiandikisha majina kuonesha utayari wa kufika kikaoni hapo kwa tarehe itakayo tajwa .

*Orodha ya Wana Kilimo na Ufugaji Waliojitambulisha*
1. Sis Fetty
2.Irene Sophy Kigamboni
3.Rashid Busolo Mombo Korogwe
4.Ashura Iddy Geita
5.Stephen Manase
6.Mohamedi Alkalawiy Dar
7. Mr Msuya Bunju
8. Pancras Ndunguru Temeke
9.Omari M Mnyeshani Dar
10. Remmy Benny Mwanza
11. Minael Masasi Madale
12. Anyitike Kasongo Makambako
13.Joshua Joram Moshi
14. Herman Joseph Tanga
15. Zuberi Kafashe Kigamboni.
16.Junior David from dar
17.Elpidius Kateme from mbeya
18.Salma Seif Zanzibar19.Elisha Ngonepo Dar
20.Ally Mohammed Dodoma
21. Yusuph Nyansika Dar
22.Teddy Daniel Dar
23.Rose Kiondo Dar
24.Alphonsia Mligo Songea
25.Thuleiya Mselem Dar.
 26.Tunu Mahenge - Uyole Mbeya.
 27. Esther Thomas Dar
28. Aden Mahondo Mbeya
29. Seleman Nyakusamaga
30.Saleh Kifaya Kigamboni
31. Joyce Ikombe Mwanza
32.Salimu omari-tanga
33. David Jasper
34.Samson Alphonce
35. Charlie Chale
36.Savio savio-Mbeya
37. Method Pancras
38. Uwezo Mkandama- Kigoma
39. Amran Mangube-Tabora
40.Genesis Genesis-Kyela
41. Mussa Mtuly - Morogoro
42.Joseph Simon 
43. Ally Said -bagamoyo
44. Benjamin Tarimo
45. Lameck Pontion- Kagera
46.Abuu Nahween
47. Paul P. Mrosso Dsm 
48. Amedeus Nguma - Moshi
49. Hussein Hassan
50. Emma Melisa
51.Herman Cosmas-Tanga
52.Gibson Mwamakula-Mbeya
53Otto Benedict-Dom
54.Fredrick Kihere-Tanga
55.Mr Masasi-Dar
56.Mohamed Alkalawiy-Dar
57.Pancras Ndunguru-Dar
58.Lushumo Mshana-Kahama
59.Martha Charles-Dar
60.Frank Mpota-Moro
61.Lanvin Camillius
62.Elpidius Kateme-Mbeya
63.Mary Kibogoya-Bagamoyo
64.Deo Lyimo-Njombe

Ikaelezwa kuwa kikao kitafanyika kwenye mkoa utakao kuwa na wanagroup wengi ,hivyo kutokana na hilo tutapitia hapo majina na waliopo hapo juu tutaona na kuchangia tukutane sehemu gani itakuwa rahisi kufikika kirahisi na kila mwanagroupo.


MALENGO YA MKUTANO HUO

1)kupitia fulsa za masoko katika fani hii ya ufugaji na kilimo,lakini pia kubadilishana mawazo na wanagroup wenzetu juu ya wanayo yajua wao kuhusu uwanja huu wa kilimo/ufugaji

2)kutambuana kiuhalisia wanagroup ili kutoana hofu za kiujamaa kibiashara.






AHSANTE KWA UMOJA WETU NA USHIRIKIANO

BY: Group Admin kiongozi

Mr Msuya

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here